Imbuki ya kalagu yiniyo, ililola igufuli. Iligufuli linilo, jili jisinza ijo jilijidololo iji jab’ejiwa kunguno ya gulugala nyango. Giko lulu, ulu jugadijiwa jigilugalaga jalemeja ugub’ita munhu umukaya, mumho mpaka jilugulwe b’o lufungulo lolyo. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, “shilikale one nguhi wimilaga ha nyango – Igufuli.”
Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu untogeji o bhanhu uyo agalugulaga jigasho na kujilugala, umukikalile kakwe. Untongeji obhanhu ng’wunuyo, adulile nulu gugulema mhayo uyo aduguhayaga uweyi, nulu guguzunya uyo aliguhaya uweyi, kunguno ya bhutale wi sumbi lyakwe linilo, umubhutumami bhokwe. Uweyi adulile gubhenhela bhuyegi abhanhu bhakwe, ulu ubhatongela chiza, nulu bhupina, ulu ubhatongela shib’i, umubhutongeji bhokwe bhunubho.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni ligufuli lya ha nyango ilo ligalemeja ugub’ita abhanhu umukaya, kunguno nuweyi agayilemejaga imihayo iyo adayihayile, umubhutongeji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “shilikale one nguhi wimilaga ha nyango – Igufuli.”
Ikalagu yiniyo, yalanga bhagongeji bha bhanhu higulya ya gubhatongeja chiza abhanhu bhabho bho guyilema imihayo iyo iliyabhub’i, na guyizunya iyo iliyawiza, kugiki bhadule gubhalang’hana chiza bhanhu bhabho bhenabho, umubhutumami bhobho.
Yahana 20: 19-23.
Mathayo 16: 19.
Ufunuo 3:7-8b.
KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.
ASKARI WANGU MFUPI KASIMAMA MLANGONI – KUFURI.
Chanzo cha kitendawili hicho, chaangalia kufuri. Kufuri hilo, ni chuma ambacho ni kidodo kilichotengenezwa kwa ajili ya kufunga milango. Hivyo basi, kikifungwa humzuia mtu kuingia ndani, mpaka kifunguliwe kwa kutumia ufunguo wake. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, “askari wangu mfupi kasimama mlangoni – Kufuri.”
Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu aliyekiongozi wa watu ambaye hufungua kikao na kukifunga, katika maisha yake. Kiongozi huyo, aweza hata kulikataa jambo asilolitaka, au kulikubali lile analolitaka, kwa sababu ya nafasi yake hiyo ya ukubwa wa kiti chake, katika utumishi wake. Yeye aweza kuwaletea watu wake furaha akiwaongoza vizuri, au kuwaletea huzuni, akiwaongoza vibaya, katika uongozi wake.
Mtu huyo, hufanana na lile kufuri la kwenye mlango ambalo huzuia watu kuingia ndani, kwa sababu naye huyazuia maneno yale ambayo hayataki, katika uongozi wake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “askari wangu mfupi kasimama mlangoni – Kufuri.”
Kitendawili hicho, hufundisha viongozi wa watu juu ya kuwaongoza vizuri watu wao, kwa kuyazuia maovu na kuyaruhusu yale yaliyo mema, ili waweze kuwalinda vizuri watu wao hao, katika utumishi wao.
Yahana 20: 19-23.
Mathayo 16: 19.
Ufunuo 3:7-8b.
ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.
MY SHORT SOLDIER HAS STOOD AT THE DOOR – A LOCK.
This riddle talks about a lock of a door. The lock is a metal that is made of iron materials which is used for closing doors. Thus, it prevents a person from entering that house, until it is unlocked by using its key. That is why people say to one another, “my short soldier has stood at the door – a lock.”
This riddle is equated to a man who is the leader in the society. He opens the session and closes it in a meeting. This leader may even reject what he does not want, or accept what he wants, because of his position in his office. He can bring happiness to his people by leading them well, or misery by leading them miserably, in his leadership.
This person resembles the door lock which prevented people from entering in the house, because he also blocks the words which he does not want, in his leadership. That is why people say to him that, “my short soldier has stood at the door – a lock.”
This riddle teaches leaders of societies on how to lead their people in a good way, by preventing evils and allowing what is good to them, so that they may better protect their own people, in their services.
John 20: 19-23.
Matthew 16:19.
Revelation 3: 7-8b.