363. NILEKEJEGE BURE.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhulombi bho ng’wa munhu gulekejiwa na ng’wiye, uyo omhub’aga. Umhub’i ng’wunuyo amanile igiki adadulile ugunhipa ung’wiye uyo onhub’aga ng’wunuyo. Hunagwene agalomba bhulekejiwa bho kuhaya giki, ‘nilekejage b’ure.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina bidohya bho gudula kubhumana ubhuhub’i bhokwe, na gulomba bhulekejiwa bho b’ure, kufumila kub’iye abho obhahubaga. Umunhu ng’wunuyo agabhalangaga na bhiye akikalile kagwilekeja bhuli ng’wene uyoohub’aga na gulomba bhulekejiwa bhunubho. Hunagwene agayombaga giki, ‘nilekejage b’ure.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gub’iza na widohya bho gulomba ubhulekejiwa bho b’ure, gwingila kubhichabho abho bhabhahub’aga, na gubhalekeja abhichabho abho bhalilomba bhulekejiwa bhunubho.

Luka 14:4.

Mathayo 18: 25-27.

KISWAHILI: NISAMEHU BURE 

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye uombaji wa msamaha wa mtu aliyemkosea mwenzake. Mtu huyo aelewa kwamba hawezi kumlipa mwenzake huyo, kwa kosa alilomkosea. Ndiyo maana mtu huyo huomba kusamehewa bila masharti, kwa kusema kwamba, ‘nisamehe bure.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu ambaye ana unyenyekevu wa kufahamu kosa lake, na kuomba msamaha wa bure kutoka kwa wenzake aliowakosea. Mtu huyo huwafundisha pia wenzake namna ya kuishi kwa kusameheana bure kila mmoja aliyekosea, na kuomba msamaha huo. Ndiyo maana mtu huyo husema kwamba, ‘nisamehe bure.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na unyenyekevu wa kuomba kusamehewa bure na wenzao waliowakosea, na wao kuwasamehe pia wale wanaomba msahama huo.

Luka 14:4.

Mathayo 18: 25-27.

forgiveness

forgive

 

ENGLISH: FORGIVE ME UNCONDITIONALLY.

The source of the above saying comes from an apology of the offender. Such a person understands that he/she cannot repay for his/her offence committed. This is why such a person can ask for an unconditional forgiveness by saying ‘forgive me unconditionally.’

This saying can be comparable to a person who has humility to admit that he/she has done something wrong and therefore asking for forgiveness. Such a person also teaches people on how to forgive others.

The saying teaches people to have humility by asking for unconditional forgiveness from their offended counterparts. They should also forgive others.

Luke 14: 4.

Matthew 18: 25-27.

Leave a comment

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.